Magonjwa ‘yasiyoua sana’ nayo pia ni magonjwa.. yapewe uzito

Photo by Courtesy of anonymous
 
Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana. Hivi tunajua vya kutosha jinsi ya kutambua magonjwa yanayobadilisha haiba (personality) na hivyo kutusaidia kujua jinsi ya kuwahudumia /kuishi na walioathirika?
Mfano: je wazazi na walimu wana uwezo wa kumtambua mtoto mwenye ‘attention disorder’ au aliye ‘hyperactive (Mchangamfu kupita kiasi)?’…. au ataishia kutandikwa viboko kila kukicha?.. Elimu hii inapatikana wapi Tanzania? Au ni mpaka ubahatishe kuwa na mwalimu, ndugu au rafiki mwenye ujuzi huo?
Je dalili za magonjwa kama ‘Schizophrenia’ ambapo muhanga huamini vitu vya kufikirika (alinacha)au kusikia sauti kichwani n.k. na pengine kujitokeza katika haiba nyingi mchanganyiko (multiple personalities)- na hivyo wakati mwingine kuonekana kuzubaa, kuwa zuzu au kuwa kama mwenda wazimu zinajulikana?… Magonjwa kama ‘grandiose’ ambapo mgonjwa huwa na ndoto na mipango mikubwa ya kufikirika na pengine kuwa mchangamfu kupita kiasi-je yanajulikana?.. Au wote hawa hudharauliwa na kuitwa ‘VICHAA’? au ‘MVUTA BANGI?’

Continue reading

We never fail to bury our dead…..

I have never heard of an African burial that failed because of poverty. So our dead always get buried by all means. What I am saying here is, there is no such thing like a failed burial. If anything, it may either be befitting or just normal. The thing is, all what is necessary for the burial is somehow made available, and not necessarily by close relatives.

The African burial is literally a communal responsibility and in such moments many give selflessly. Most relevant people find time and means to be present as we leave everything else and focus on the burial. This means, the goal is shared, approved and supported by everybody. More importantly, everyone understands what needs to be achieved, and nothing less is expected or allowed to happen.

Continue reading